.
Staa wa soka Mario Balotelli anamiliki headlines kwenye internet sasa hivi baada ya moyo wake kuanguka kimapenzi kwa binti mrembo wa Belgium anaitwa Fanny Neguesha ambae amemtaja kama Mwanamke wa kwanza anaejisikia huru kuwa nae huu ukiwa ni mwezi wa sita toka wameanza kuwa pamoja.
Pamoja na hilo, Balotelli kasema bado anasubiri vipimo vya DNA ili kufahamu kama ni baba wa mtoto wa kike wa mpenzi wake wa zamani Tv Star/model Rafaella Fico, akisisitiza kwamba hana mpango wa kukimbia huyo mtoto, atapenda pia kukutana na kuzungumza na Rafaella.
.
Mario Balotelli na mpenzi wake wa zamani Fanny Neguesha.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: Balotelli celebrity News News
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: