Home
»
celebrity News
»
Kanye West
»
News
» MAUZO YA ALBUM YA KANYE WEST ‘YEEZUS’ YAPOROMOKA KWA KASI.
Mauzo ya album ya Kanye West ‘Yeezus’ yameshuka kwa asilimia themanini (80%) wiki ya pili tangu album hiyo ilipoingizwa sokoni.
Wakati Album ya mzee Kanye ikiwa inafanya vibaya, The Gifted ambayo ni album ya Wale imeshika nafasi ya kwanza kwa kuuza jumla ya nakala 158,000 according to Nielsen SoundScan.
Album ya Kanye West iliuza jumla ya nakala 327,000 wiki ya kwanza, wakati week ya pili iliuza jumla ya nakala 65,000.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News Kanye West News
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: