» » » » » YALIYOJILI KWENYE PARTY YA KAJALA (AMBASSADOR LOUNGE)



Usiku wa J.mosi hii pale Ambassadador Lounge ulikuwa ni usiku wa Kajala ambapo alifanyiwa
Party ilimkutanisha na Ndugu,Jamaa,Marafiki pamoja na Mashabiki wake...
Kajala aliambatana na Rafiki yake kipenzi Wema Sepetu na walikata Cake kwapamoja...


Wema, Ally Nipishe & Kajala...



Hapa wakiingia ndani ya Ukumbi wa Ambassadador Lounge



Wema, Dj Fetty & Kajala...



Hizi ni Cake mbili alizoandaliwa Kajala usiku huo...







Kajala & Aunt Ezekiel



Aunt & Wema

Mmmh! Wema anamfundisha Aunt......?



Kajala tayari kwakukata Cake...



Akiongea na Raia....

Wema pia alipewa Nafasi yakuongea....

Baada ya Kajala kuskia sauti ya Wema machozi yalimwagika....













Mr. Petit Man Wakuache & Mrs








Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply