Home
»
50 Cent
»
celebrity News
»
News
» 50 CENT AJITOLEA KUGHARAMIKIA MAZISHI YA MTOTO WA KIKE WA MIAKA 14 ALIYEPIGWA RISASI
Curtis Jackson a.k.a 50 Cent ameamua kufanya kitu kwaajili ya jamii kwa kujitolea kugharamikia mazishi ya mtoto wa kike mwenye miaka 14 aliyeuwawa kwa kupigwa risasi.
Weekend iliyopita rapper huyo alitoa pesa katika mfuko wake kwaajili ya familia ya mtoto huyo aitwaye D’aja Robinson aliyeuawa njiani akitokea katika party a sweet 16 huko Queens baada ya kupigwa risasi akiwa kwenye basi.
Tukio hilo liliwagusa wengi akiwemo Curtis ambaye aliamua kwenda hadi kwa wazazi wa mtoto huyo na kujitolea kugharamia shughuli zote na kuhudhuria mazishi.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook Curtis aliandika “Watu huwa wananipakazia picha mbaya kuhusu mimi, lakini mimi ni mtu wa kweli hapa duniani na sijasahau nilipotoka. Nimekuja kumsaidia huduma za mazishi ya huyu mtoto wa kike. Alikuwa mzuri, innocent na hakustahili kifo cha namna ile R.I.P D’Asia Robinson”
Kwa mujibu wa mtandao wa New York post, mtoto huyo alipigwa risasi kwa bahati mbaya sababu hakuwa mlengwa wa shambulio hilo.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: 50 Cent celebrity News News
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: