Home
»
Big Brother 2013
»
Fezza Kessy
»
News
» FEZA KESSY AANZA MAKEKE YAKE KATIKA JUMBA LA BIG BROTHER, AWA MKUU WA NYUMBA HIYO!
Huwa wanasema nyota njema huonekana asubuhi, na asubuhi ya shindano la Big brother “The Chase” ilikuwa jana (May 27) ambapo nyota njema ya Feza ilionekana baada ya kupata cheo cha kuwa mkuu wa nyumba (Head Of House) katika Big Brother.
Jana (May 27) ikiwa ndio siku ya kwanza kati ya siku 91 za shindano hilo, ilikuwa ni mwanzo mzuri sana kwa mmoja wa wawakilishi wa Tanzania Feza Kessy baada ya kupata cheo hicho cha kuiongoza Diamond House.
Moja ya ukubwa wa cheo hicho cha Feza kama kiongozi wa nyumba ni uwezo wa kumuokoa mshiriki aliyekuwa nominated kutoka na kumweka mshiriki mwingine katika eviction.
Shindano la big brother linahitaji Technics nyingi kwa kila mshiriki ili aweze kuonekana na kusikika zaidi ya wenzake , kitu ambacho kinasaidia kuchukua attention ya watazamaji wengi ambao mwisho wa siku wao ndio hupiga kura .
Uchaguzi wa mkuu wa nyumba ya Diamond ulifanyika kwa washiriki wote kuchukua mpira mmoja ulioko katika box lililowekwa garden bila kuangalia na yeyote atakayechukuwa ‘winning ball’ ndio mshindi.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: Big Brother 2013 Fezza Kessy News
Related Posts
Aunt Ezekiel aelezea tuhuma za kutoka kimapenzi na Dancer wa Diamond Plantumz
Mwigizaji wa filamu nchini Aunty ezekiel ameelezea tuhuma zilizozogaa siku kadhaa zilizopita kuwa ...Read more »
08Aug2014Wnafunzi hawa wakutwa wakifanya ngono kweupeeee...
Baadhi ya madenti wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam, wameoza kwa matukio machafu ya ngon...Read more »
07Aug2014HII NDIO DAWA YA TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME....
Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofan...Read more »
07Aug2014Picha /Video:Hii ndio Ajali iliyotokea Makongo yaua watu 18
Ajali ajali! Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar ...Read more »
21Jun2014Walioshambulia Kenya si Al Shabaab, 'Uhuru Kenyatta'
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema mashambullio yaliyotokea katika mji wa Mpeketoni, Pwani ya Ken...Read more »
17Jun2014Picha: Hvi ndivyo jinsi Director na Kipenzi cha wengi Geogre Tyson alivyoagwa
Mchana wa leo mamia ya Watanzania walifurika katika viwanja vya Leaders Club kuuaga mwili wa Directe...Read more »
04Jun2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: