Home
»
celebrity News
»
News
»
Ney wa Mitego
» NAY WA MITEGO ATOA SABABU YA KWA NINI HUVAA VIATU VYA PAIR MBILI TOFAUTI
Kuwa na ‘unique identity’ ni moja ya technics nzuri kibiashara kwa msanii sababu inafanya atambulike kirahisi na kwa haraka miongoni mwa wasanii wengi.
Hakuna ubishi kuwa baba kijacho Nay Wa Mitego is running the game right now, kupitia hit song aliyoshirikiana Diamond Platnumz.
Nay amekuja na style yake ya kuvaa viatu viwili vya pair mbili tofauti na ndivyo anavyoonekana mara zote anapokuwa popote iwe ni kwenye show au mtaani. Kama bado unashangaa au hujaelewa ni hivi, mfano anakuwa na pair mbili za viatu lets use Adidas na Puma, pair moja iwe nyeupe na nyingine nyeusi, mguu mmoja anavaa Adidas nyeupe na mguu mwingine anavaa puma nyeusi, that’s his new swag, sio uchawi lakini!!
Akiielezea style yake hiyo ya uvaaji viatu kupitia kipindi cha Hot Mix cha EATV Nay amesema “navaa hivi nikimaanisha binadamu hatufanani, wewe huwezi kuwa sawa na yule na mi siwezi kuwa sawa na wewe that’s the big point”.
Wapo wasanii wengine wa nje na hapa Tanzania ambao wamewahi kujaribu kufanya vitu vya kuwatofautisha na wengine. Mfano kwa nje kundi la Kriss Kross wao style yao ilikuwa ni kugeuza jeans mbele kuwa nyuma na nyuma kuwa mbele.
Hapa Tanzania mwana mashairi Mrisho Mpoto ana aina yake ya mavazi anayovaa muda mwingi yanayomtambulisha na pia mara kadhaa huwa anatembea peku bila viatu.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News News Ney wa Mitego
Related Posts
Aunt Ezekiel aelezea tuhuma za kutoka kimapenzi na Dancer wa Diamond Plantumz
Mwigizaji wa filamu nchini Aunty ezekiel ameelezea tuhuma zilizozogaa siku kadhaa zilizopita kuwa ...Read more »
08Aug2014Wnafunzi hawa wakutwa wakifanya ngono kweupeeee...
Baadhi ya madenti wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam, wameoza kwa matukio machafu ya ngon...Read more »
07Aug2014HII NDIO DAWA YA TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME....
Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofan...Read more »
07Aug2014Picha /Video:Hii ndio Ajali iliyotokea Makongo yaua watu 18
Ajali ajali! Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar ...Read more »
21Jun2014Walioshambulia Kenya si Al Shabaab, 'Uhuru Kenyatta'
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema mashambullio yaliyotokea katika mji wa Mpeketoni, Pwani ya Ken...Read more »
17Jun2014Picha: Hvi ndivyo jinsi Director na Kipenzi cha wengi Geogre Tyson alivyoagwa
Mchana wa leo mamia ya Watanzania walifurika katika viwanja vya Leaders Club kuuaga mwili wa Directe...Read more »
04Jun2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: