Home
»
Beyonce
»
celebrity News
»
News
» ATIMAYE BEYONCE AKANUSHA RASMI TETESI ZINAZOSEMA YEYE NI MJAMZITO
Baada ya kuwepo tetesi kuwa mke wa Jay-Z Beyonce ana ujauzito wa mtoto wa pili na kukwepa kuthibitisha ama kukana uvumi huo kila alipokuwa akiulizwa, hatimaye taarifa rasmi kuhusiana na tetesi hizo zimetolewa na team ya Beyonce.
Jana (June 5) mtangazaji wa kipindi cha asubuhi “Today Morning” kupitia CBS aitwaye Gayle King ambaye pia ni rafiki wa familia ya Carter, amesema alizungumza na team ya Beyonce Jumanne (June 4) ambao wamethibitisha kuwa Queen Bey hana ujauzito kwa sasa na kusema “ni kweli yeye na Jay-Z wanahitaji sana kupata mtoto wa pili wakati muafaka utakapofika, na wakati ukifika watatoa taarifa”.
Mtazame Gayle alipokuwa anatoa taarifa hizo kupitia kipindi cha “Today Morning”
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: Beyonce celebrity News News
Related Posts
Aunt Ezekiel aelezea tuhuma za kutoka kimapenzi na Dancer wa Diamond Plantumz
Mwigizaji wa filamu nchini Aunty ezekiel ameelezea tuhuma zilizozogaa siku kadhaa zilizopita kuwa ...Read more »
08Aug2014Wnafunzi hawa wakutwa wakifanya ngono kweupeeee...
Baadhi ya madenti wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam, wameoza kwa matukio machafu ya ngon...Read more »
07Aug2014HII NDIO DAWA YA TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME....
Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofan...Read more »
07Aug2014Picha /Video:Hii ndio Ajali iliyotokea Makongo yaua watu 18
Ajali ajali! Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar ...Read more »
21Jun2014Walioshambulia Kenya si Al Shabaab, 'Uhuru Kenyatta'
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema mashambullio yaliyotokea katika mji wa Mpeketoni, Pwani ya Ken...Read more »
17Jun2014Picha: Hvi ndivyo jinsi Director na Kipenzi cha wengi Geogre Tyson alivyoagwa
Mchana wa leo mamia ya Watanzania walifurika katika viwanja vya Leaders Club kuuaga mwili wa Directe...Read more »
04Jun2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: