Habari kwa Ufupi :

» » » » CRIS BROWN ATOA REMIX "SOMEBODY ELSE" JE UNAHISI AMEMUIMBA RIHANA. . .?




Toka mkali wa R&B Chris Brown aachane na Rihanna kumejitokeza vitu vingi vinavyoashiria kuwa wapenzi hawa wa zamani wanatumiana ujumbe usio wa moja kwa moja kupitia njia tofauti.
Baada ya Rihanna kutweet ujumbe ulioonekana dhahiri unamhusu Breezy kwa kumuita “Queen” siku tatu zilizopita, Chris naye ametoa remix ya wimbo wa Mario unaoitwa ‘Somebody Else, wenye maneno yanayoshabihiana na matatizo kati yake na Riri.
Katika wimbo huo uliotengenezwa na producer Polow Da Don, Chris amemuimba msichana ambaye amemsaliti na kufall in love na mtu mwingine “Somebody” else.
Breezy anategemea kutoa album yake mpya ya “X” (July 16) mwaka huu.
Isikilize hapa “Somebody Else” ya Chris.


Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
BABA YAKE DIAMOND YUPO HOI ANAUMWA......DIAMOND HAJAWAHI KANYAGA KUMJULIA HALI
»
Previous
HAYA NDIYO,MAHANDALIZI YANAYOENDELEA PALE MLIMANI CITY DAR ES SALAAM KWA AJILI YA TUZO ZA KILI MUSIC AWARDS

No comments:

Leave a Reply