Home
»
celebrity News
»
Criss Brown
»
News
» CRIS BROWN ATOA REMIX "SOMEBODY ELSE" JE UNAHISI AMEMUIMBA RIHANA. . .?
Toka mkali wa R&B Chris Brown aachane na Rihanna kumejitokeza vitu vingi vinavyoashiria kuwa wapenzi hawa wa zamani wanatumiana ujumbe usio wa moja kwa moja kupitia njia tofauti.
Baada ya Rihanna kutweet ujumbe ulioonekana dhahiri unamhusu Breezy kwa kumuita “Queen” siku tatu zilizopita, Chris naye ametoa remix ya wimbo wa Mario unaoitwa ‘Somebody Else, wenye maneno yanayoshabihiana na matatizo kati yake na Riri.
Katika wimbo huo uliotengenezwa na producer Polow Da Don, Chris amemuimba msichana ambaye amemsaliti na kufall in love na mtu mwingine “Somebody” else.
Breezy anategemea kutoa album yake mpya ya “X” (July 16) mwaka huu.
Isikilize hapa “Somebody Else” ya Chris.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News Criss Brown News
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: