Home
»
celebrity News
»
Kanye West
»
News
» Video: Kanye West azungumzia mambo usiyoyafahamu kuhusu yeye, Kim Kardashian na mwanao North West
Huwa ni nadra sana kuliona tabasamu la Kanye West, lakini imedhihirika kuwa mapenzi yake kwa mpenzi wake Kim Kardashian na mwanao North West ndio ufunguo pekee wa tabasamu hilo.
Pia inawezekana hujawahi kumuona Kanye akiwa ‘emotional’ kama alivyokuwa wakati wa Interview aliyofanyiwa na mkwe wake Kris Jenner iliyoruka jana. Kanye alikubali kuwa yeye ni mtu mwenye aibu na mwoga hasa anapokuwa mbele za watu tofauti na anapokuwa jukwaani.
Hisia za Kanye ambaye alikuwa na aibu flani zilikua zinajionesha hata katika mahojiano hayo hasa wakati alipokuwa akiulizwa kuhusu Kim Kardashian na North. Kanye alikuwa anachezesha mguu, anachezea vidole (zile ishara za aibu) lakini pia alikuwa na nidhamu ya kufa mtu mbele ya mkwe.
Kati ya vitu alivyovizungumzia kuhusu Kim ni jinsi walivyokutana na kusema alianza kumpenda Kim kabla hawajakutana so it was love at first sight. Katika Interview hiyo ndiyo Kanye alionesha picha ya mwanae North kwa mara ya kwanza.
Kris alimuuliza pia kama anapenda North naye aje kuwa rapper kama yeye, Kanye alisema atampatia fursa ya kujenga uwezo katika vitu tofauti na kisha kumuacha North mwenyewe aje kuamua kile atakachokuwa anaweza zaidi kukifanya na kuwa wao watamsupport katika chochote atakachoamua kufanya.
“Im gonna give her the opportunity to develop her different skills set, and then decide you know what she likes to do the best….we will just give the support and let her follow what she loves the most”.
Tazama mahojiano yote hapa
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News Kanye West News
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: