Habari kwa Ufupi :

» » » » We Love Celebrities, We Love Red Carpet: Maoni yako Wewe Msomaji...Ni Celebrities Gani Alipendeza katika Red Carpet ya Miss Tanzania 2013?




Miongoni mwa shughuli za mwanzo kabla ya shindano kama hilo ni red carpet. Hiyo ndio sehemu ambapo watu waliovunja makabati yao huoneshana umwamba.
page
Hata hivyo, siku hizi watu hawavunji tena makabati. Hali imebadilika ambapo katika matukio kama hayo, watu hununua nguo mpya mahususi tu kwa siku hiyo au wengine hutengenezewa nguo zao na wabunifu wa nguo.
Kwakuwa sisi si wataalam sana wa mambo ya fashion, tungependa wewe useme nani aliyependeza zaidi siku hiyo kati ya akinadada hawa. Picha ni kutokana 8020 Fashions Blog.
Faraja Kotta
Faraja Kotta, Miss Tanzania 2004
Redcarpetmisstanzania2013-170-of-177
Salha Israel, Miss Tanzania 2011
Jackie Cliff
Jackie Cliff
Jocelyne
Jocelyne Maro
K-Lynn
Jacqueline Ntuyabaliwe aka K-Lynn, Miss Tanzania 2000
Nasreen Karim
Nasreem Karim, Miss Tanzania 2008
Redcarpetmisstanzania2013-23-of-177

Redcarpetmisstanzania2013-30-of-177

Redcarpetmisstanzania2013-72-of-177

Redcarpetmisstanzania2013-75-of-177

Redcarpetmisstanzania2013-117-of-177

Redcarpetmisstanzania2013-119-of-177

Redcarpetmisstanzania2013-122-of-177

Redcarpetmisstanzania2013-144-of-177

Redcarpetmisstanzania2013-150-of-177


Redcarpetmisstanzania2013-160-of-177

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
MOYES ASIRUDIE MAKOSA AU TUJIANDAE NA AIBU YA KUKOSA CHAMPIONS LEAGUE
»
Previous
WestGate Mall: Mpwa wa Rais Uhuru Kenyatta amabaye ni Marehemu kwa sasa alipigwa risasi 8 baada ya kumkinga mchumba wake aliyeuawa pia

No comments:

Leave a Reply