Kupitia project hiyo mpya ya BACK TO SCHOOL, kila mwanafunzi atafanikiwa kupata madaftari kumi na mbili(12) kwa ajili ya kuandikia, peni tatu(3), penseli mbili(2), ufutio, kompasi la mahesabu(mathematical set ) na begi la mgongoni kwa ajili ya kubebea vifaa hivyo vy shule watakavyopewa wanafunzi hao.
Flaviana Matata Foundation Yazindua Rasmi Back To School Project
Kupitia project hiyo mpya ya BACK TO SCHOOL, kila mwanafunzi atafanikiwa kupata madaftari kumi na mbili(12) kwa ajili ya kuandikia, peni tatu(3), penseli mbili(2), ufutio, kompasi la mahesabu(mathematical set ) na begi la mgongoni kwa ajili ya kubebea vifaa hivyo vy shule watakavyopewa wanafunzi hao.
No comments: