Cannibal, alijiunga na MMG miaka mitatu iliyopita na kuhamia Nairobi kutoka Mombasa na alikuwa msanii wa kwanza mkubwa kusainishwa Prezzo baada ya kuivunja Cash Money Brothers. Baada ya hapo waliachia single yao My City My Town, wimbo uliokuwa ukisifia miji ya Nairobi na Mombasa.
“Bado nafanya kazi na Prezzo na hakuna ugomvi kati yetu. Tuna projects zaidi zinakuja,” alisema Cannibal. Hata hivyo wasanii wengi waliojiunga na MMG, wanadaiwa kujiondoa.
No comments: