Sad News; Rich Mavoko Ampoteza Baba yake Mzazi
Msanii wa Bongoflava anayejulikana kama Rich Mavoko anayetamba na wimbo wake wa 'Roho yangu' yupo katika wakati mgumu baada ya kumpoteza Baba yake mzazi.
Taarifa hizo za msiba aizitoa mwenyewe Rich Mavoko Kupitia Mtandao wa Instagram..
No comments: