Msanii wa Bongoflava anayejulikana kama Rich Mavoko anayetamba na wimbo wake wa 'Roho yangu' yupo katika wakati mgumu baada ya kumpoteza Baba yake mzazi.
Taarifa hizo za msiba aizitoa mwenyewe Rich Mavoko Kupitia Mtandao wa Instagram..
Unknown Wednesday, January 15, 2014 0 No comments
Category: Rich Mavoko Tragedy
Designed by Bravo Designs
No comments: