Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, sherehe hiyo itafanyika Jumamosi usiku katikati ya NBA All-Star Weekend. Rapper huyo amekodi uwanja alioupa jina “Birdman’s New Era Voodoo Lounge.”
Pamoja na wanawake 30 walio watupu, kutakuwa na models wengine 700 watakaovaa nguo. Zaidi ya hapo atasafirisha gari zake kutoka Miami ambazo kwa pamoja zina thamani ya dola milioni 7 zikiwemo Bugatti 2, Maybachs, 2 na basi 3 za tour.
Wageni waalikwa ni pamoja na James Harden, Paul George, Blake Griffin, Shaq, Kenny Smith na rappers wa Young Money, Lil Wayne, Drake, Nicki Minaj, na wengine. Pia wasanii wa zamani wa Cash Money, Mystikal, Turk, Juvenile, na Mannie Fresh watakuwepo.
No comments: