“Kuna kazi ya filamu tunafanya mimi na Wema,ambayo ipo chini ya Endless Fame Film, kwahiyo ni ya Wema. Wema alinitafuta akasema tufanye kazi, ndio ambayo tunafanya,” alisema Gabo.
Gabo kwenye filamu moja na wema sepetu
“Kuna kazi ya filamu tunafanya mimi na Wema,ambayo ipo chini ya Endless Fame Film, kwahiyo ni ya Wema. Wema alinitafuta akasema tufanye kazi, ndio ambayo tunafanya,” alisema Gabo.
No comments: