Jumapili, daktari wa masuala ya akili, Dr. Panpimol Wipulakorn aliwaonya vijana wa Thailand wanaopost picha zao wenyewe kwenye mitandao ya kujamii lakini kushindwa kupata mrejesho chanya (positive feedback) wanakutana na matatizo ya kihisia.
“Kama wakijisikia hawapati likes za kutosha kwa selfie zao kama walivyotarajia, huamua kuweka nyingine, lakini bado hawapati majibu ya mazuri,” alisema.
“Hii inaweza kuathiri namna wanavyofikiri. Wanaweza kupoteza kujiamini na kuwa na mtazamo hasi kwa wao wenyewe kama vile kujihisi wana kasoro.”
No comments: