Home
»
celebrity Photos
»
Ney wa Mitego
» Picha: Hii ndio Gari Ney wa Mitego aliyomnunullia Mpenzi wake
Mambo sio mabaya kwa msanii Ney wa Mitego kwa Mwaka hu mpya wa 2014 kwa kile alichokifanya hasa kwa Mpenzi wake kueleka katika kusheherekea siku ya wapendanao Duniani,
Kuelekea katika siku ya wapendanao ambapo zimebakia siku 5 ili kufikia ile siku ya wapendanao Dunaini Ney wa Mitego ameamua kumnunulia mpenzi wake usafiri ili kumuwezesha mpenzi wake huyo kutopata tabu katika misafara yake ya kila siku.
Kupitia instagram Ney wa mitego amepost picha ya gari alilomnunulia mpenzi wake na kuandika maneno haya ‘Zic iz 4u bby…zawadi yako my superwomen…chama kubwa 966 Mwezi wa 7 ntakununulia prado sawa?! Hahaha kaa Umooooo @truegal966 ‘Tazama Post ya Ney wa Mitego aliyoipost februari 8 2014 siku ya jana kupitia mtandao wa Instagram....
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity Photos Ney wa Mitego
Related Posts
Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Big Booty United (BBU): Masogange na Mkenya Corazon wakutana (Picha)
Baada ya kupeana shoutouts kibao kupitia Instagram, warembo wa Afrika Mashariki waliojaaliwa ass(ets...Read more »
08Aug2014Serengeti Fiesta 2014 Mwanza: Wasanii wazungumza na waandishi wa habari (Picha)
Baadhi ya wasanii waliowasili jijini Mwanza kwaajili ya show ya Serengeti Fiesta 2014 itakayofanyika...Read more »
08Aug2014Exclusive;Jokate anateswa na picha za utupu,
Picha za nusu utupu ambazo amezipiga mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo zinaonekana kumtesa ...Read more »
07Aug2014Bow Wow abadili tena jina, aeleza sababu za kutolitaka jina alilonalo
Miaka 12 baada ya kubadili jina la Lil Bow Wow kuwa Bow Wow, rapper huyo wa Marekani aliyeanza kupat...Read more »
24Jun2014Picha: Amini apata jiko , ni Namcy Vana wa Kantangaze
Muimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka THT, Amini Mwinyimkuu jana June 22 ameukacha ukapela kwa kufunga...Read more »
23Jun2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: