Home
»
celebrity News
»
Criss Brown
»
Fashion
» Chris Brown afungua kampuni yake ya modeling, ‘ Legendary Faces’
Super star anayehit kwa misukosuko tofauti Criss Brown, pamoja na kwamba weekend ya star huyu haikuwa nzuri kutokana na kulala lupango baada ya kufukuzwa rehab kwa mara nyingine, lakini biashara zake zinaendelea na sasa amewekeza katika biashara mpya ambayo ni tofauti na muziki.
Jumanne ya wiki iliyopita, mwimbaji huyo wa ‘Fine China’ kabla hajakutwa na maswahibu hayo alitangaza mradi wake mpya wa kampuni yake ya modeling iitwayo ‘Legendary Faces’ agency.
Breezy alitangaza kupitia tweeter huku akiweka link ya website mpya kwa kuandika ‘My Agency http://legendaryfacesmm.com casting by: @charlesincharge101 Photos by: @krishphotos @dgphoto7’.
Mshindi huyo wa grammy ambaye pia ameahidi kutoa album yake ya ‘X’ mwezi May mwaka huu baada ya kuahirisha mara kwa mara toka mwaka jana, alispend weekend yake lockup huko Los Angeles baada ya jaji kuamuru akamatwe kwa kuvunja sheria na taratibu za tiba yake, japo taarifa ya mahakama haikuelezea sababu halisi iliyomsababisha Brown aondolewe rehab huko Malibu alikokuwa ameongezewa miezi mingine miwili ya kuendelea kupata tiba ya kukabiliana na hasira.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News Criss Brown Fashion
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: