Home
»
celebrity News
»
Hemedy 'Phd'
» Hemedy PHD afunguka 'Girlfriend wangu ameniinspire niandike ‘On My Wedding Day’
Msanii Hemedy PHD amesema girlfriend wake aliyemtambulisha wazi ndiye aliyemvutia kuandika wimbo wake ujao uitwao ‘On My Wedding Day’.
Girlfriend wa Hemedy
Amesema amekuwa akifuatilia maisha ya mastaa wa nje na kugundua kuwa wengi wamekuwa wakiyaweka wazi mahusiano yao tofauti na wasanii wa Tanzania na ndio maana naye ameamua kumweka wazi na kuwa huru. “Kwasababu ni demu ambaye nina uhakika naye, demu ambaye moyo wangu naona kabisa umependa nikapata mpaka mawazo kwamba one day nahisi huyu ndiye atakayekuja kuwa one and only wa kumuoa ndio hiyo idea ya kuandika hiyo ngoma ikaja,” amesema.
Hemedy ameongeza kuwa ameandika wimbo huo kwakuwa anaamini kuwa arusi ni sherehe zilizopo katika maisha yote ya binadamu na hivyo kama ukipendwa unaweza kumletea neema. Amesema pia kuwa mashabiki wake wategemee video ya tofauti sana ya wimbo huo na hadi sasa amekuwa akiumiza kichwa namna ya kuifanya isiwe ya kawaida.
Source:Bngo5
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News Hemedy 'Phd'
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: