» » » » Hiki ndicho kitu kingine kutoka kwa Jokate

Jokate Mwegelo ambaye ni star mkubwa nchini katika entertainment industry amekuja na ndala za kidoti zenye picha yake baada ya kuwa gumzo na nywele za kidoti.



 Jokate licha ya kuwa maarufu sana haendekezi kuhongwa na wanaume kama baadhi ya mastaa wenzake wa kike walivyo bali anaamini katika kutafuta kwa kupitia jasho lake mwenyewe na kwa njia halali huki akiwa hana skendo. Congrats Jokate

Hizi ndizo Ndala mpya zenye sura ya Jokate a.k.a Kidoti

Na hii ndio post yake aliyoipost instgram akizitangaza bidhaa zake mpya


Ongera sana Jokate kwa Mafankio haya..!




Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Magazetini leo Ijumaa ya Tarehe 11/4/2014
»
Previous
Lulu atoa tahazari kwa mashabiki wake, 'kuweni makini na hao Matapeli'

No comments:

Leave a Reply