ukiangalia kuanzia juu mpaka chini unaweza kuona kila celeb anajitahidi kutoka kitofauti ila hapa kwenye haircut ni moja kati ya style ambayo inaonekana kuwateka wasanii wengi tu maarufu hapa bongo,kuanzia shetta,jux na ommy dimpoz etc, na kufanikiwa kurudisha style ya way tena kwa mara nyingine back katika fashion trend ya 2014.
Sunglasses hizi:Kama unakumbuka nyimbo za msanii shagy za zamani,ndio utashtukia mchezo mzima kuwa vitu vya zamani ikiwemo hii aina ya miwani ya jua ndio iliyokuwa inatesa sana kipindi hicho na kwa 2014 ndio imerudi na kuwa ndio trend ya fashion ambayo imefanikiwa kuwateka celeb wengi sana duniani,na hata hapa kwetu nyumbani.
No comments: