Habari kwa Ufupi :

    3:00
» » » Picha: Wiz Khalifa anaishi katika Mjengo Huu

Wiz Khalifa alinunua hii nyumba eneo la Canonsburg, Pennsylvania, yenye vyumba 5 vya kulala, mabafu 4, nyumba ya pembeni ya wageni. Hii nyumba ipo karibu na eneo alilolelewa na kusoma rapper Wiz Khalifa, Inasemekana ni kijana anayependa sana kuishi karibu na nyumbani au mitaa aliyokulia, sio kwenye miji mikubwa yenye fujo na kelele za mastaa wengine.




Taama picha hapa chini:







Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Picha: Fashion Poll, Je lupita nyongo amependeza katika vazi hili alilovaa?
»
Previous
Video vixen wa ‘My Gal’ Vera Sidika akiri kuwa na urafiki wa karibu na Rapper Prezzo wa kenya

No comments:

Leave a Reply