Baada ya khlai hiyo kutokea Diamond platnumz alimau kutoa pole zake kupitia ukurasa wake wa Instagram, na kuandika haya 'Najua tumekuwa tukipitia kipindi kigumu sana hivi karibuni.. kuondokewa na ndugu zetu ambao tunawapenda na kuwategemea kwenye sanaa na mambo mbalimbali.. kiukweli ni pigo na Pengo kubwa kwa Taifa... lakini skuzote tunaamini Sisi tuliwapenda ila Mwenyez mungu aliwapenda zaidi... Maombi yetu ndio yatakayo wasaidi walipo wapumzike kwa Amani....Mwenyez mungu azilaze roho zao mahala pema peponi Amin...💡'
Baada ya mashabiki kumshambulia Diamond Platnumz, Hiki ndicho alichokipost
Baada ya khlai hiyo kutokea Diamond platnumz alimau kutoa pole zake kupitia ukurasa wake wa Instagram, na kuandika haya 'Najua tumekuwa tukipitia kipindi kigumu sana hivi karibuni.. kuondokewa na ndugu zetu ambao tunawapenda na kuwategemea kwenye sanaa na mambo mbalimbali.. kiukweli ni pigo na Pengo kubwa kwa Taifa... lakini skuzote tunaamini Sisi tuliwapenda ila Mwenyez mungu aliwapenda zaidi... Maombi yetu ndio yatakayo wasaidi walipo wapumzike kwa Amani....Mwenyez mungu azilaze roho zao mahala pema peponi Amin...💡'
No comments: