Habari hizi za kusikitisha zimeripotiwa na chanzo cha kuaminika ambacho kimeeleza kuwa alizidiwa na ugonjwa wa presha uliopelekea kifo chake.
Muigizaji huyo amekuwa akisumbuliwa na magonjwa kwa muda mrefu hali iliyompelekea kulemaa viungo hususani mkono wake.
Taarifa hizi ni mwiba mwingine kwa tasnia ya filamu nchini ikiwa ni wiki moja imepita tangu marehemu George Tyson afariki kwa ajali ya gari.
Bongo61 Tunawapa pole wafiwa wote na Tasnia ya Filamu kwa ujumla 'Mungu ailaze pema roho ya Mzee Small. Amina!
No comments: