Habari kwa Ufupi :

    3:00 PM F
» » » IRENE UWOYA AWATEGA WANANUME NA KIVAZI HIKI CHA NUSU UCHI

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mastar wengi wabongo wamekuwa wakipiga picha nyingi ambazo zinakuwa kinyume na maadili yetu na mara nyingi wakiulizwa husema alipiga kwa matumizi binafsi kuna mtu kavujisha picha hizo lakini sasa wahenga walinena kutenda kosa sio kosa ila kurudia kosa ni kosa kubwa kwanini ijirudie tena kwako wewe hebu tujikumbushe kidogo miaka ya nyuma sana Irene woya alivujisha picha hii akiwa katika pozi la utata ila na hii je


Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
SHTUKA MREMBO: MAMBO MUHIMU YA KUFANYA BAADA YA KUTENDWA NA UMPENDAE...!
»
Previous
FAIDA YA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA WAKATI WA KUFANYA MAPENZI...

No comments:

Leave a Reply