Tazama picha za kilichoendelea katika uzinduzi wa video mpya ya Mwanamuziki wa miaondoko ya R&b aitwaye Jux katika siku ya jumpili iliyopita uliofanyika pale Club Billcanas na kuhudhuriwa na wadau kibao.
Mc wa show hiyo alikuwa ni B-12 ndiye aliyeendesha show nzima na wasanii kama Cyril na keiza na wengine walikuwepo katika kutoa support.
Taszama picha zaidi hapa

Mc wa show hiyo alikuwa ni B-12 ndiye aliyeendesha show nzima na wasanii kama Cyril na keiza na wengine walikuwepo katika kutoa support.
Taszama picha zaidi hapa

No comments: