» » » » » UMESIKIA HII!! ETI MAMA KRISH NA DIAMOND NI WAPENZI?


Habari zilizotapakaa leo kwenye magazeti mbalimbali ya udaku nchini zinaongelea juu ya tukio linaloonekana kama fumanizi kati ya mwigizaji mahiri wa bongo movies Irene Uwoya na Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul maarufu kama “Diamond platnumz” katika hoteli moja ya kifahari huko mitaa ya mbezi jijini Dar es salaam.

Picha za habari hizo zinaonesha wawili hao wakiingia hotelini usiku na kutoka hotelini hapo pamoja mida ya mchana siku inayofuata na pia kuna ushahidi wa magari ya wawili hao yakiwa yamepakiwa hotelini hapo.


Bado tutanaendelea kukupa Update zaidi juu ya Ukweli wa Wawili hao!

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply