» » » Picha: Uzinduzi wa E Fm uliofanyika Mwembe yanga -Temeke

Uzinduzi wa kituo kipya cha Radio E FM ulifanyika jana Jumapili (June 1) katika viwanja vya Mwembe-Yanga, Temeke jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu kama picha zinavyojieleza.



Wasanii mbalimbali akiwemo Ommy Dimpoz, Shilole, Q-Chilla, PNC Mkude Simba aka Kitale na wengine walikonga nyoyo za mashabiki waliojitokeza.
Tazama picha zaidi hapa chini...









Image Crdit: Gpl

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply