» » » » » Aunt Ezekiel aelezea tuhuma za kutoka kimapenzi na Dancer wa Diamond Plantumz


Mwigizaji wa filamu nchini Aunty ezekiel ameelezea tuhuma zilizozogaa siku kadhaa zilizopita kuwa anatoka na mcheza shoo wa mwananuziki Diamond Platnumz – Mozes iyobo kama ifuatavyo



Kupitia kwenye kipindi cha redio cha Clouds Fm cha Gossip cop, mwanadada huyu amefunguka na kusema kuwa yeye na Moses ni marafiki tu na wapo karibu sana ila sio kuwa wana mahusiano ya kimapenzi kama watu wananavyodai

Akiongea na gossip cop, aunty alielezea kuwa ndo yake na Mume wake bado ipo vizuri na hawezI kufanya jambo kama hilo na amemtaka mke wa mcheza shoo huyo atafute anayetoka na mume wake kwani sio yeye na aache kumfuatilia.

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply