Chris Brown amethibitisha kuwa ameachana tena na mpenzi wake Rihanna
Juzi Jumapili muimbaji huyo wa ‘Fine China’ alisherehekea birthday yake ya kutimiza umri wa miaka 24 kwa kuangusha party za nguvu katika majiji ya Las Vegas, New York na Los Angeles, na kuweka wazi kuwa yupo single na anaweza kujirusha na wasichana wengi atakao licha ya kudai bado anampenda Rihanna wanayeachana na kurudiana kila mara.
Rihanna – ambaye alidai kuwa alipanga surprise ya nguvu kwa Breezy, hakuhudhuria party yoyote kati ya hizo kwakuwa alikuwa busy kuperform kwenye ziara yake ya ‘Diamonds World Tour’ weekend hii.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News Criss Brown News Rihana
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: