Home
»
celebrity News
»
Rita Paulsen
» Ni Baada ya Nay Wa Mitego Kumuimba Madam Rita : Rita Paulsen adai Nay wa Mitego ni msanii mbunifu, amkaribisha atumbuize kwenye EBSS
Rita Paulsen hana mpango wa kumshtaki Nay wa Mitego kwa kuichafua Bongo Star Search kwenye Salam Zao. Infact aliusikia wimbo huo hata kabla ya haujatoka.
Madam Rita alikuwa akiongea kwenye U Heard ya Clouds FM leo ambapo amezikanusha tetesi zilizopo mtaani kuwa amemfungulia kesi ya ‘defamation’ Nay kutokana na kuzusha kwenye wimbo huo kuwa washindi huwa hawalipwi fedha zote.
“Hata muda wa kuongelea hicho kitu naona ni wastage of time. He is not worth my time,” alisema Rita.
Hata hivyo, Madam Rita amesema Nay ni mbunifu na ametumia fursa hiyo kuimba wimbo uliokuwa gumzo baada ya kutoka.
“He is creative, big up to him, very creative you man.” Amesema hana tatizo kama Nay akiperform kwenye show hiyo na hata kama akiuimba wimbo huo.
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity News Rita Paulsen
Related Posts
Fid Q amzunguzia mama wa mtoto wake Fidelie
Rapper Fid Q amesema ni mapema sana kuzungumzia masuala ya ndoa na mpenzi wake kutoka Jamhuri ya Cze...Read more »
26Sep2015Kajala Ammwagia Zari Minoti!
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa pic...Read more »
25Sep2015Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepet...Read more »
25Sep2015Dk. Cheni Afunguka Kumuoa Lulu!
Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Eliza...Read more »
25Sep2015Mama wa Diamond Aongelea Kuhusu Mjukuu wake Kuwa si Mtoto wa Diamond
Weekend iliyopita mtoto wa Diamond na Zari aitwaye Tiffah alitimiza siku 40 na sura yake kuonyeshwa ...Read more »
25Sep2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: