Habari kwa Ufupi :

    3:00 P
» » KESI YA SHEIKH PONDA MPAKA OKTOBA 1



ponda_26617.jpg
Sheikh Ponda Akishuka kwenye basi la Magereza tayari kuingia Mahakamani Kusikiliza kesi yake inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoani Morogoro. Sheikh Ponda alishatikiwa katika Mahakama Hiyo akikabiliwa na Mashtaka Matatu Ambayo inadaiwa aliyatenda Mkoani Morogoro katika Mkutano Hadhara mwezi uliopita. Kesi hiyo imearishwa tena Mpaka Tarehe 01.10.2013. Sheikh Ponda amenyimwa Dhamana na amerudishwa Rumande.

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
SUMU YA SARIN ILITUMIKA SYRIA
»
Previous
BENKI YA BARCLAYS ITASITISHA BIASHARA YA KUSAFIRISHA FEDHA SOMALIA

No comments:

Leave a Reply