Habari kwa Ufupi :

» » » Picha: Jacky Wolper anunua Prado



Jacqueline Wolper aka Wolper Gambe ameshusha mzigo mpya wa kupiga nao misele na kufanyia matanuzi mitaa ya Dar es Salaam.


Prado ya Jacky Wolper

Muigizaji huyo ameshare picha kwenye Instagram ya Prado yake mpya na kuandika: My new bebe am in lv wth u darlng. Ila twende kwanza nikakuvalishe kiatu na vitu ving uzid kushne like ur mom gambe.”


Kwenye picha hii Wolper ameandika: Fnsh i thnk kiatu nakofia imependeza bebe

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Exclusive Interview na Wema Sepetu kuhusu maisha yake
»
Previous
Picha: Behind the Scene ya Brand Video ya Hit Maker wa Wimbo wa "Wanakungoja" Twalibe Next Boy Foreal ..Akiwa Mzigoni Kushoot video yake Mpya ya "Tayaya"

No comments:

Leave a Reply