Home
»
celebrity Photos
»
Nicki Minaj
» Picha za Nicki Minaj akiwa ‘maziwa nje’ haikuwa ajali, asema hapendi kuvaa ‘brauz’
Wiki hii Picha za Nicki Minaj zikimwonesha akiwa kavaa kikoti ambacho kiliacha maziwa yake nje zilisambaa katika mitandao mbalimbali na kufanya watu wajiulize kama ilikuwa ni bahati mbaya kuvaa vile au alifanya makusudi kama tulivyomzoea.
Picha hizo pia Minaj mwenyewe alizishare Instagram kumaanisha haikuwa bahati mbaya, lakini kupitia kipindi cha Ellen Nicki amethibitisha kuwa hapendi kuvaa nguo ya kuhifadhi kifua chake (bra) na kuziita nguo hizo ‘devil’.
Tazama clip fupi ya Interview yake na Ellen
Tunaomba Maoni yako Hapa :
Category: celebrity Photos Nicki Minaj
Related Posts
Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photo...Read more »
25Sep2015Big Booty United (BBU): Masogange na Mkenya Corazon wakutana (Picha)
Baada ya kupeana shoutouts kibao kupitia Instagram, warembo wa Afrika Mashariki waliojaaliwa ass(ets...Read more »
08Aug2014Serengeti Fiesta 2014 Mwanza: Wasanii wazungumza na waandishi wa habari (Picha)
Baadhi ya wasanii waliowasili jijini Mwanza kwaajili ya show ya Serengeti Fiesta 2014 itakayofanyika...Read more »
08Aug2014Exclusive;Jokate anateswa na picha za utupu,
Picha za nusu utupu ambazo amezipiga mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo zinaonekana kumtesa ...Read more »
07Aug2014Bow Wow abadili tena jina, aeleza sababu za kutolitaka jina alilonalo
Miaka 12 baada ya kubadili jina la Lil Bow Wow kuwa Bow Wow, rapper huyo wa Marekani aliyeanza kupat...Read more »
24Jun2014Picha: Amini apata jiko , ni Namcy Vana wa Kantangaze
Muimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka THT, Amini Mwinyimkuu jana June 22 ameukacha ukapela kwa kufunga...Read more »
23Jun2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: