» » » Picha: ‘The Khaki House’ Mjengo wa Sugu



CHADEMA aka vidole viwili inazunguka kwenye mishipa ya damu ya rapper mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu na ndio maana nyumba yake imepigwa rangi ya khaki.



Ameipa jina Khaki House. Mbunge huyo ameshare picha ya nyumba yake kwenye Facebook na kuandika: Home : I call it ‘Khaki House’…

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
NEW VIDEO: ICEPRINCE - I SWEAR ft FRENCH MONTANA (OFFICIAL VIDEO)
»
Previous
Diamond Aongelea Kuvuja kwa Wimbo wake wa "KAMA NIKIFA KESHO"

No comments:

Leave a Reply