Sio Diamond Plutnumz Pekee aliyetawa bali wasanii wengine waliotabiriwa kufanya vizuri Afrika ni pamoja na Kaysha,(msanii wa DRC aishie Ufaransa), Wyre wa Kenya, Radio na Weasel wa Uganda na King James wa Rwanda.
Bonyeza hapa kumsikia DJ Edu akiwaelezea.
Radio and Weasel
King James
Wyre
No comments: