Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Ghana, ambaye msimu uliopita alichezea kwa mkopo klabu ya Hispania, Real Madrid ambapo alikuwa akijitahidi kufanya vizuri kwenye mechi kadhaa. Tangu msimu wa ligi kuu ya uingereza uanze wa 2012-13, kiungo huyu mwenye umri wa miaka 31, mara baada ya kurejea kutoka Real Madrid, amefanikiwa kuanzishwa mara mbili tu kwenye kikosi hicho cha “The Blues”.
“I’m happy being here”, alisema Essien alipohojiwa na chaneli ya Ac Milan. Aliongeza kwa kusema, “I will do my best for Milan and i hope to be ready to play”
No comments: