Hii ndio ratiba kamili ya kombe la dunia kwa masaa ya kibongo

Unknown Friday, June 20, 2014 0

Ikiwa ni masaa tu yamesalia ili Dunia iweze kushuhudia mashindano makubwa kuliko yote ya mpira wa miguu duniani (World Cup)yatakayofanyika ...

FC Barcelona yamuweka rehani Sanchez na kitita cha kutosha kwa ajili ya Luis Suarez

Unknown 0

Baada ya kukata ngembe za waingereza usiku wa kuamki hii leo huko nchini Barzil, FC Barcelona wametangaza kumuwekea dau la paund million 52 ...

Kocha wa Hispania akubali lawama baada ya kutolewa mapema kwenye fainali za kombe la dunia

Unknown Thursday, June 19, 2014 0

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Hispania Vicente del Bosque amesema hana njia ya mkato ya kusema samahani kwa mashabiki wa soka wa nchi hiyo ...

Hawa ndio wachezaji 26 wa Taifa Stars watakaokwenda Gaborone

Unknown 0

Wachezaji 26 wa Taifa Stars wanaingia kambini Jumatatu (Juni 23 mwaka huu) kwa ajili ya safari ya Gaborone, Botswana. Kwa mujibu wa Kocha Ms...

Kombe la Dunia: Timu zilizowazuia wachezaji wao kufanya mapenzi na zilizowaruhusu

Unknown 0

Kama uliwahi kuwa karibu na wachezaji wa timu yoyote kuanzia daraja la tatu hata hapa Bongo utakuwa umewahi kusikia makocha wakiwasihi wache...

Mexico yatoka sare tasa na Brazil, 0-0

Unknown Tuesday, June 17, 2014 0

Wenyeji  wa Kombe la Dunia 2014, Brazil wametoka suluhu na Mexico katika mechi yao ya pili ya kundi A. Brazil na Mexico wote kwa sasa wana p...

Maamuzi mazito yaliyofikiwa na kamati ya Simba

Unknown 0

kamati ya uchaguzi ya klabu ya simba ilifanya mkutano wake wa kawaida jana june 15 mwaka huu kujadili mambo mbalimbali ambayo yanahusu uchag...

Serengeti Boys Kucheza Azam Complex

Unknown 0

Mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 kati ya Tanzania (Serengeti Boys) na Afrika ...

Kombe la Dunia: Uholanzi yaifunga Hispania mabao 5-1, Van Persie na Robben wang’ara

Unknown Saturday, June 14, 2014 0

Mabingwa watetezi wa kombe la dunia, Hispania wamerudishwa darasani na Waholanzi waliokuwa na hasira ya kulipiza kisasi cha kufungwa kwenye ...

Picha: Pitbull na Jennifer Lopez wapamba sherehe za ufunguzi wa kombe la dunia 2014, Brazil

Unknown Thursday, June 12, 2014 0

Maelfu ya mashabiki wamejitokeza jioni ya jana kwa saa za Brazil (June 12) katika sherehe za ufunguzi wa fainali za kombe la dunia 2014 kwen...

Ghasia zaidi kupinga kombe la dunia

Unknown Wednesday, May 28, 2014 0

Polisi nchini Brazil wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji katika mji mkuu Brasilia wanaopinga kuandaliwa kwa kombe la du...

Picha: Wabrazil awataki Kombe la Dunia kufanyika nchini kwao

Unknown 0

Baadhi ya waandamanji walipura mawe na kuchoma magurudumu ya magari na kufunga mabarabara ya miji wakidai serikali haikuzingatia matakwa ya ...

Baada ya Ryan Giggs kuwa kocha msaidizi, Louis Van Gaal ateuliwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Man United

Unknown Tuesday, May 20, 2014 0

Klabu ya Manchester United imemteua Louis van Gaal kuwa kocha mkuu mpya kwa mkataba wa miaka mitatu kufuatia kufukuzwa kazi kwa David Moyes ...

Donald Sterling akataa kulipa fidia ya $2.5 milion kwa kosa la ubaguzi wa rangi, atishia kuishitaki NBA

Unknown Friday, May 16, 2014 0

Donald Sterling ambaye ni mmiliki wa timu ya mpira wa kikapu ya Clippers amekataa kulipa fidia iliyoamriwa na NBA kwa kosa la kufanya ubaguz...

Rais wa FIFA Sepp Blatter atangaza kugombea tena mwakani

Unknown Sunday, May 11, 2014 0

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kwamba atatetea nafasi yake kwenye uchaguzi ujao mwakani. Blatter al...

Manchester City ndio mabingwa wa EPL Msimu huu wa 2013/2014

Unknown 0

Baada ya upinzani wa kusisimua katika msimu huu wa 2013/2014, msimu ambao Liverpool wataujutia kwa kuukosa ubingwa baada kuteleza dakika za ...

Katibu Mkuu wa FIFA kutua Tanzania

Unknown Wednesday, April 30, 2014 0

Semina ya mawasiliano ya CECAFA inatarai kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa FIFA Jerome Valcke, ambaye atawasili nchini kesho Mei 1, 2014 Katibu ...

Mmiliki wa timu ya L.A Clippers, Donald Sterling afungiwa maisha kushiriki NBA

Unknown 0

Mmiliki wa timu ya mpira wa kikapu ya Los Angeles Clippers, Donald Sterling amepigwa marufuku na chama cha mchezo huo, NBA katika maisha yak...

Marcos Maidana: ‘Nitamtwanga Floyd Mayweather’, watazichapa Jumamosi, May 3

Unknown Friday, April 25, 2014 0

Bondia wa Argentina, Marcos Maidana amesema anajiamini kuwa Floyd Mayweather. Floyd ‘Money’ Mayweather akijifua ‘Mimi ni bingwa na niko taya...

Baada ya kufukuzwa Man U ,Moyes afunguka na kusema haya

Unknown Thursday, April 24, 2014 0

Aliyekuwa kocha wa Manchester United, David Moyes ametoa maelezo yake baada ya kuachishwa kazi kutokana na mwenendo mbaya wa timu hiyo tangu...