Habari kwa Ufupi :

» » WAZIRI WA FEDHA WA TANZANIA MH WILLIAM MGIMWA AFARIKI DUNIA


Habari zilizo tufikia hivi punde nikwamba waziri wa fedha mh William Mgimwa amefariki mchana wa leo nchini Afrika kusini alikokuwa amekwenda kwa matibabu ya ugonjwa wa "Presha" uliokuwa ukimsumbua kwa muda mrefu.Habari zaidi tutakuleteeni baadae.

Endelea kuwa na sisi

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
YANGA YAJITOA KOMBE LA MAPINDUZI, OKWI NA KIIZA SIMU ZAO HAZIPATIKANI TANGU ASUBUHI
»
Previous
Video: Filamu kuhusu Biblia kutikisa Hollywood mwaka 2014, zipo Son of God, Noah na Exodus

No comments:

Leave a Reply