Mabao ya Liverpool leo yamefungwa na Skrtel dakika ya kwanza na 10, Sterling dakika ya 15 na 52 na Sturridge dakika ya 20.
Bao la kufutia machozi la Arsenal lilifungwa na Arteta dakika ya 69 kwa penalti. Ushindi huo, unaifanya Arsenal ibaki na pointi zake 55 katika nafasi ya pili baada ya kuchea mechi 25, wakati Liverpool imefikisha pointi 50 baada ya mechi 25 pia, ingawa inaendelea kubaki nafasi ya nne.
No comments: