Chukua uda wako wa dakika kadhaa kuweza kuwasikiliza vijana hawa waliofanya ngoma hii ndani utamkuta shashow wa lunduno, P The Mc, Rapper Kalakana na Jackson Ngoma imefanyika katika studio za Home Town Records chini ya Producer Ell Da Bway.
Sikiliza na Kuidonload hapa chini kwa wana Hip Hop wote na wapenzi wa muziki kwa ujumla hii kitu inawahusu....
No comments: