Utulivu huo umewekwa wazi na mapacha hao kupitia twitter kwa kueleza kuwa kundi hilo sasa liko imara zaidi ya siku zote.
Jana (April 24) ilikuwa siku ya kuzaliwa ya kaka yao, Jude Okoye na yeye alionesha nia ya kutaka kufunga pingu za maisha baada ya kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake lfy Umeokeke ambaye ni mwanamitindo na aliwahi kuvaa taji la urembo unaohusu masuala ya kijamii mwaka 2012.
No comments: