» » » Kaka wa P-Square amvisha pete ya uchumba mrembo wake, ni Baada ya kumaliza tofauti zao

P - Square ni kundi la muzik linaloundwa na mapacha wa Nigeria, Peter na Paul Okoye limetulia na sasa mambo ni shwari kama zamani.



Utulivu huo umewekwa wazi na mapacha hao kupitia twitter kwa kueleza kuwa kundi hilo sasa liko imara zaidi ya siku zote.

Jana (April 24) ilikuwa siku ya kuzaliwa ya kaka yao, Jude Okoye na yeye alionesha nia ya kutaka kufunga pingu za maisha baada ya kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake lfy Umeokeke ambaye ni mwanamitindo na aliwahi kuvaa taji la urembo unaohusu masuala ya kijamii mwaka 2012.

Mastaa hao walitweet hivi..


Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
'Nampenda sana Wema ' Mtoto wa kajala afunguka kuwa anaumizwa na ugomvi wa mama yake na wema sepetu
»
Previous
Kajala alinikwepa nisimkumbatie akidai nitamchafua 'Wema ', Fedha yatengua urafiki wao

No comments:

Leave a Reply