Music: Wimbo ramsi wa tuzo za Afrimma ulioshirikisha wasanii 10 akiwemo Diamond, Yvonne Chaka chaka, Vanessa Mdee…

Unknown Saturday, September 26, 2015 0

Wasanii kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaowania tuzo za Afrimma wameungana kufanya wimbo rasmi wa tuzo hizo (Afrimma Theme Song). ...

Diamond Platnumz Azua Kizaazaa Kampeni za Magufuli Bukoba....

Unknown Friday, September 25, 2015 0

Kundi kubwa la vijana wakigombea kumuona mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’, katika Viwanja vya Gymkhana mjini Bukoba. UNAZI...

Nay wa Mitego kuachia wimbo mpya ‘Nimewaka’, video kushoot Dubai au US!

News Tanzania Friday, August 8, 2014 0

Rapper na Hit Maker wa  'Nakula Ujana'  Nay wa Mitego anatarajia kuachia wimbo wake mpya uitwao ‘Nimewaka’ ambapo pia ametoa sababu ...

Cindy Rulz atajwa kuwania tuzo za Marekani 'UMA'

Unknown Thursday, August 7, 2014 0

Rapper wa kike toka Tanzania Cindy Rulz ametajwa kuwania tuzo za Underground Music Awards (UMA), zinazotelewa nchini Marekani. Cindy R...

Mapacha wamjibu Lulu baada ya kukana kuimba kwenye wimbo wao, 'ametudharau'

Unknown Tuesday, June 24, 2014 0

Baada ya Elizabeth Michael kukana kushirikishwa na kundi la mapacha kwenye wimbo wao mpya ‘Time For The Money’. Kundi la Mapacha limeeleza j...

Audio: Lulu akana kushirikishwa na Mapacha kwenye 'Time For The Money'

Unknown 0

Kundi la Mapacha linaloundwa na Kulwa na Dotto limeachia wimbo wao mpya unaoitwa Times For The Money ambao wamedai kumshirikisha Elizabeth M...

Video: Baada ya staili ya Skelewu na Ngololo, hii ndio staili mpya inayo-make headlines hivi sasa.

Unknown 0

Kwa staili hii hapa hakuna cha Davido tena na skelewu yake, sababu huko West Africa Skelewu ishakuwa ni ya enzi za mwalimu, huko watu wana-S...

File la taarifa za matibabu za Schumacher laibwa, wezi wapanga kuliuza

Unknown 0

Jedwari (file) lenye taarifa za matibabu za gwiji wa mbio za magari ya formula 1, Michael Schumacher limedaiwa kuibwa na watu wasiojulikana ...

Ben Pol kuachia wimbo mpya July 27, umeandikwa na mwalimu wa chuo kikuu

Unknown Monday, June 23, 2014 0

Mwimbaji wa RnB Tanzania, Ben Pol ametangaza kuachia wimbo mpya alioupa jina la Upendo, July 27 mwaka. Wimbo huo umeandikwa na mwalimu wa St...

Baada ya story za Diamond na Wema, sasa imeamia kwa Cindy Rulz na Gosby.

Unknown Saturday, June 21, 2014 0

Mbali na zil story za Diamond na Wema Sepetu zakuachana naa kurudiana, ambao kwa hivi sasa imeanza kuwa historia , kuna wasanii wawili wali...

Dullayo akiri kubadilisha style yake ya mwanzo kumemponza, apanga kurudi walikomzoea

Unknown 0

Hitmaker wa Naumia Roho, Dulayo amekiri kuwa nyimbo zake kadhaa zimemwendea mrama ikiwemo ngoma ya ‘Watu Wabaya’ aliyofanyia katika Studio z...

Sarkodie, Tiwa Savage na Mafikizolo kuperform kwenye tuzo za BET

Unknown Friday, June 20, 2014 0

Majina ya wasanii watakaotumbuiza kwenye utoaji wa tuzo BET Experince mwaka huu zilizopewa yameanza kutangazwa. Majina ya wasanii wakubwa w...

Hii ndio zawadi Madam Ritha aliyopewa na mshindi wa BSS..ambayo hatoweza sahau maishani mwake.

Unknown 0

Aliyekuwa mshindi wa Bongo Star Search, Emmanuel Msuya, ametokea kumpa madam Ritha zawadi ya aina yake ambayo hatoweza sahau maishani mwake,...

Rihann azimika na mchezaji wa Ghana, soma hapa...

Unknown Wednesday, June 18, 2014 0

Rihanna anamzimikia mchezaji wa Ghana, Kevin-Prince Boateng.Kupitia Twitter, Rihanna alisema kuwa kutokana na mchezaji huyo anayekipiga pia ...

Huu ndio ujio mpya wa Joh Makini , Viburi Flow!

Unknown Tuesday, June 17, 2014 0

Mwana Hip Hop na Mwamba wa Kaskazini, Mweusi Joh Makini ametangaza ujio wake mpya na akitumia mtindo ule ule wanaouita Viburi Flow . Joh at...

Chris Brown na Justin Bieber waingia studio, kurekodi wimbo kwa ajili ya Mashabiki

Unknown 0

Justin Bieber na Chris Brown wameingia studio kupika muziki mzuri kwa ajili ya mashabiki wao Jumatatu, June 16. Bieber amepost picha kwenye ...

Video: Mwanamuziki apasuliwa kooni huku akiimba

Unknown 0

Tukio la upasuaji la aina yake limeripotiwa nchini Ufaransa ambapo mwimbaji Alama Kante ambaye ni raia wa Guinea anayeishi nchini humo amefa...

Usher na mtangazaji wa E! Entertainment TV ya Marekani kuja Tanzania July kuwapa semina wasanii wa muziki na filamu

Unknown Monday, June 16, 2014 0

Miongoni mwa vitu vitakavyofanya Rais Jakaya Kikwete akumbukwe na wasanii wa Tanzania ni jinsi ambavyo amekuwa mstari wa mbele kuwasaidia wa...

Video: T.I na The Game wakigombana na polisi baada ya washkaji zao kupigwa

Unknown 0

Mwanahip hop  anayetokea Compton Marekani, The Game pamoja na rapper wa Atlanta ‘T.I’ walijikuta wakiingia katika mzozo na askari polisi kuf...

Video ya kerewa kufanyika SA 'Shetta'

Unknown Saturday, June 14, 2014 0

Msanii Shettah a.k.a baba Qylah wa Bongo akiwa moja kwa moja kutoka Durban Afrika Kusini, ameweka wazi mzigo wa zawadi kubwa kutoka kwake hi...