Habari kwa Ufupi :

    3:00 PM
» » Rihann azimika na mchezaji wa Ghana, soma hapa...

Rihanna anamzimikia mchezaji wa Ghana, Kevin-Prince Boateng.Kupitia Twitter, Rihanna alisema kuwa kutokana na mchezaji huyo anayekipiga pia FC Schalke 04, alijikuta akiwa shabiki wa Ghana ilipokuwa ikicheza na Marekani jana.



Hata hivyo huenda Riri aliangushwa na timu hiyo baada ya kufungwa bao 2-1.

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Fifa wapiga marufuku wachezaji kuvaa headphone za beats by dre
»
Previous
Sina Mahusiano ya Kimapenzi na Msami na wla aDiamond Platnumz ajavunja Ndoa Yangu

No comments:

Leave a Reply