“Ugomvi na mgogoro wa mapacha sio kitu kikubwa ni vile tu Naija media waliukuza kupita kiasi” alisema Paul.
Paul pia amemtetea mke wa pacha wake Peter kuwa hakuhusika kwa lolote katika mgogoro wao hivyo kuwaomba watu wasimlaumu Lola sababu hana hatia.
Paul aliongeza kuwa watu wasichukulie poa nguvu ya damu (ndugu) kwa kumaanisha kuwa sio kitu rahisi kuwatenganisha.
Hiki ndicho alichokiandika Paul Okoye kupitia ukurasa wake wa facebook jana:
Please whatever happen was not cause by any woman, pls and pls stop blaming ma brother’s wife Lola for wat she’s innocent. Twins fight and quarrel is not a big deal only dat naija media over-emphasized it, but never underestimate the power of blood. It’s thicker than water. Much love to y’all. #Family #ForeverPsquare
No comments: