» » » Lulu Michael Atembea maziwa Nje Nje...Aangaika Kuzifunika Bila Mafanikio

MSANII wa filamu Bongo, Elizaberth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni aliwashangaza watu baada ya kuvukwa na gauni alilokuwa amevaa na kulazimika kutembea huku sehemu kubwa ya kifua chake ikiwa wazi.



Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kiwanja kimoja kichopo mjini Arusha ambapo mmoja wa watu aliyemtia machoni Lulu aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema:

“Yaani nilimuona Arusha akiwa amevaa gauni lililoacha wazi matiti yake, kaficha chuchu tu na inavyoonekana gauni lilimvuka, akaonekana akihangaika kulirudishia bila mafanikio.

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Mume Wa Flora Mbasha Atuhumiwa Kumbaka Shemeji Yake, Flora Apost Picha Za Mumewe Siku Hiyo Hiyo
»
Previous
Breaking News:Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni Baada ya CCM Kuilinda Wizara ya Nishati na Madini

No comments:

Leave a Reply