Shakira ambaye ndiye alifanya wimbo ramsi wa Kombe la dunia mwaka 2010 Afrika Kusini (Waka waka) uliopata umaarufu mkubwa , katika video ya wimbo mpya amewashirikisha mastaa wa soka akiwemo mpenzi wake na baba wa mwanaye Gerard Pique, Lionel Messi, Cesc Fabregas, Eric Abidal, Neymar, James Rodríguez, Sergio Agüero, na Radamel Falcao. Pia mwanaye aitwaye Milan anaonekana kwenye video hiyo.
Mashabiki wengi wamejaribu kuzishindanisha nyimbo hizi mbili kati ya huu mpya wa Shakira na wimbo rasmi wa mwaka huu wa Pitbull na J.LO.
No comments: