Mtayarishaji huyo wa muziki ameonekana katika video akisherehekea kuwa billionaire wa kwanza mwana hip hop huku akipewa shavu na muigizaji wa First and Furious, Tyrese Gibson.
Katika video hiyo, Tyrese anaonekana akishangilia na kuwataka Forbes warekebishe mapema orodha ya wanahi hop matajiri zaidi duniani, “the Forbes list just changed..”
Nae Dr Dre alionekana akitamba kuwa billionaire wa kiwanza tena kutoka West Coast, “The first billionaire in hip hop, right here from the motherf***ing West Coast!”
No comments: