Polisi nchini Kenya wamesema kundi hilo limevamia kijiji kimoja usiku (June 16) na kufanya mashambulizi usiku kucha.
Kundi la Al Shabab lilidai kuhusika na shambulizi la kwanza na kueleza kuwa litaendelea na mashambulizi kama hayo nchini huko kwa lengo la kulipiza kisasi baada ya Kenya kupeleka wanajeshi wake Somalia kulisaka kundi hilo.
No comments: