Habari kwa Ufupi :

» » » Audio: Mume wa Flora Mbasha azungumza yote, kubaka na mengineyo msikilize hapa

Tunaomba usikilize hii audio Mume wa Flora Mbasha akiomba msamaha na akifichua mambo magumu mazito yanyoendelea ndani ya famili hiyo ambayo imezua gumzo mtaani kwa kile kinachofikiriwa kua imepoteza uaminifu kutokana na jamii inavyoichukulia



kua ni familia yenye hofu kubwa ya Mungu,lakini jamii imesahau kua hawa ni binadamu 100% kuna kuanguka ,tunaomba maoni yako unasemaje juu ya hili.

Tunaomba Maoni yako Hapa :

«
Next
Haya ndiyo anayoyasema mume wa flora Mbasha juu ya kesi inayomkabili ya kumbaka Shemeji yake
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply